Marko 14:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Hata hivyo, mtu fulani kati ya hao waliosimama kando akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake.+ Luka 22:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Mtu fulani kati yao hata alimpiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake la kuume.+ Yohana 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo Simoni Petro, kwa kuwa alikuwa na upanga, akauchomoa na kumpiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake la kuume.+ Jina la mtumwa huyo lilikuwa Malko.
47 Hata hivyo, mtu fulani kati ya hao waliosimama kando akauchomoa upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake.+
10 Ndipo Simoni Petro, kwa kuwa alikuwa na upanga, akauchomoa na kumpiga mtumwa wa kuhani mkuu, akalikata sikio lake la kuume.+ Jina la mtumwa huyo lilikuwa Malko.