Marko 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo Pilato akamuuliza: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+ Akamjibu, akasema: “Wewe mwenyewe unasema.”+ Luka 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sasa Pilato akamuuliza: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Akamjibu, akasema: “Wewe mwenyewe unasema.”+ Yohana 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo Pilato akaingia tena ndani ya jumba la gavana naye akamwita Yesu na kumwambia: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+
2 Kwa hiyo Pilato akamuuliza: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+ Akamjibu, akasema: “Wewe mwenyewe unasema.”+
3 Sasa Pilato akamuuliza: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?” Akamjibu, akasema: “Wewe mwenyewe unasema.”+
33 Kwa hiyo Pilato akaingia tena ndani ya jumba la gavana naye akamwita Yesu na kumwambia: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+