Mathayo 27:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yesu sasa akasimama mbele ya gavana; naye gavana akamuuliza: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+ Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe unasema.”+ Yohana 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”
11 Yesu sasa akasimama mbele ya gavana; naye gavana akamuuliza: “Je, wewe ndiye mfalme wa Wayahudi?”+ Yesu akajibu: “Wewe mwenyewe unasema.”+
13 wakachukua matawi ya mitende+ na kutoka nje wakutane naye. Nao wakaanza kupaaza sauti:+ “Mwokoe, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova,+ naam, mfalme+ wa Israeli!”