64 Yesu akamwambia:+ “Wewe mwenyewe umesema.+ Lakini ninawaambia ninyi, Tangu sasa+ mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu na akija juu ya mawingu ya mbinguni.”+
13 Machoni pa Mungu, ambaye huvihifadhi vitu vyote hai, na machoni pa Kristo Yesu, ambaye akiwa shahidi+ alifanya tangazo zuri la hadharani+ mbele ya Pontio Pilato,+ mimi nakupa wewe maagizo+