Marko 15:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+
36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+