Zaburi 69:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini walinipa mmea wenye sumu kuwa chakula,+Na kwa ajili ya kiu yangu wakajaribu kuninywesha siki.+ Mathayo 27:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Na mmoja wao akakimbia mara moja, akachukua sifongo akailowesha kwenye divai kali+ akaiweka juu ya utete na kuanza kumnywesha.+ Yohana 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Chombo kimoja kilichojaa divai kali kilikuwa hapo. Kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo na kukileta kwenye kinywa chake.+
21 Lakini walinipa mmea wenye sumu kuwa chakula,+Na kwa ajili ya kiu yangu wakajaribu kuninywesha siki.+
48 Na mmoja wao akakimbia mara moja, akachukua sifongo akailowesha kwenye divai kali+ akaiweka juu ya utete na kuanza kumnywesha.+
29 Chombo kimoja kilichojaa divai kali kilikuwa hapo. Kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo na kukileta kwenye kinywa chake.+