36 Lakini mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka juu ya utete, na kuanza kumnywesha,+ akisema: “Acheni iwe hivyo kwake! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”+
29 Chombo kimoja kilichojaa divai kali kilikuwa hapo. Kwa hiyo wakaweka sifongo iliyojaa divai kali juu ya kijiti cha hisopo na kukileta kwenye kinywa chake.+