Luka 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome. Matendo 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, wao wakaendelea kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya sabato, wakaketi.
16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.
14 Hata hivyo, wao wakaendelea kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya sabato, wakaketi.