Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na siku ya sabato tukatoka nje ya lango kando ya mto, ambapo tulikuwa tukifikiri kwamba palikuwa na mahali pa sala; nasi tukaketi na kuanza kusema na wanawake waliokuwa wamekusanyika.

  • Matendo 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani walimokuwa, na kwa sabato tatu akajadiliana nao kwa kutumia Maandiko,+

  • Matendo 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, yeye alikuwa akitoa hotuba katika sinagogi+ kila sabato na alikuwa akiwashawishi Wayahudi na Wagiriki.

  • Matendo 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Akaingia katika sinagogi,+ akasema kwa ujasiri kwa miezi mitatu, akitoa hotuba na kutumia ushawishi kuhusu ufalme+ wa Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki