Mathayo 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo akaenda akizunguka+ katika Galilaya+ yote, akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya ugonjwa+ na kila namna ya udhaifu katikati ya watu. Matendo 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, wao wakaendelea kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya sabato, wakaketi. Matendo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani walimokuwa, na kwa sabato tatu akajadiliana nao kwa kutumia Maandiko,+
23 Ndipo akaenda akizunguka+ katika Galilaya+ yote, akifundisha katika masinagogi+ yao na kuhubiri habari njema ya ufalme na kuponya kila namna ya ugonjwa+ na kila namna ya udhaifu katikati ya watu.
14 Hata hivyo, wao wakaendelea kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya sabato, wakaketi.
2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani walimokuwa, na kwa sabato tatu akajadiliana nao kwa kutumia Maandiko,+