Matendo 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 naye akaanza mara moja kumhubiri Yesu+ katika masinagogi, kwamba Huyu ndiye Mwana wa Mungu. Matendo 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hata hivyo, wao wakaendelea kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya sabato, wakaketi. Matendo 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi katika Ikoniamu+ wakaingia pamoja katika sinagogi+ la Wayahudi na kusema kwa namna ambayo iliufanya umati mkubwa wa Wayahudi na pia Wagiriki+ kuwa waamini. Matendo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, yeye alikuwa akitoa hotuba katika sinagogi+ kila sabato na alikuwa akiwashawishi Wayahudi na Wagiriki.
14 Hata hivyo, wao wakaendelea kutoka Perga na kuja Antiokia katika Pisidia nao wakaingia ndani ya sinagogi+ siku ya sabato, wakaketi.
14 Basi katika Ikoniamu+ wakaingia pamoja katika sinagogi+ la Wayahudi na kusema kwa namna ambayo iliufanya umati mkubwa wa Wayahudi na pia Wagiriki+ kuwa waamini.
4 Hata hivyo, yeye alikuwa akitoa hotuba katika sinagogi+ kila sabato na alikuwa akiwashawishi Wayahudi na Wagiriki.