Luka 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome. Matendo 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na walipofika Salami wakaanza kulitangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana+ akiwatumikia. Matendo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani walimokuwa, na kwa sabato tatu akajadiliana nao kwa kutumia Maandiko,+
16 Naye akaja mpaka Nazareti,+ ambako alikuwa amelelewa; na, kulingana na desturi yake siku ya sabato, akaingia katika sinagogi,+ naye akasimama ili asome.
5 Na walipofika Salami wakaanza kulitangaza neno la Mungu katika masinagogi ya Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana+ akiwatumikia.
2 Basi kulingana na desturi ya Paulo+ akaingia ndani walimokuwa, na kwa sabato tatu akajadiliana nao kwa kutumia Maandiko,+