Luka 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akainua macho yake juu ya wanafunzi wake na kuanza kusema:+ “Wenye furaha ni ninyi maskini,+ kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu. 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.
20 Naye akainua macho yake juu ya wanafunzi wake na kuanza kusema:+ “Wenye furaha ni ninyi maskini,+ kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu.
14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.