1 Timotheo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+ 1 Yohana 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote akisema: “Mimi nampenda Mungu,” na bado anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo.+ Kwa maana yeye ambaye hampendi ndugu yake,+ ambaye amemwona, hawezi kuwa anampenda Mungu, ambaye hajamwona.+
8 Kwa hiyo natamani kwamba kila mahali wanaume waendelee kutoa sala, wakiinua mikono+ yenye ushikamanifu, bila ghadhabu+ na mabishano.+
20 Yeyote akisema: “Mimi nampenda Mungu,” na bado anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo.+ Kwa maana yeye ambaye hampendi ndugu yake,+ ambaye amemwona, hawezi kuwa anampenda Mungu, ambaye hajamwona.+