Mathayo 18:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo bwana wake, akiwa na ghadhabu,+ akamtia mikononi mwa walinzi wa jela, mpaka alipe deni lake lote. Luka 12:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Ninakuambia, Hutatoka humo mpaka umalize kulipa sarafu ndogo ya mwisho yenye thamani ndogo sana.”+
34 Ndipo bwana wake, akiwa na ghadhabu,+ akamtia mikononi mwa walinzi wa jela, mpaka alipe deni lake lote.
59 Ninakuambia, Hutatoka humo mpaka umalize kulipa sarafu ndogo ya mwisho yenye thamani ndogo sana.”+