Luka 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Na mkiwapenda wale wanaowapenda ninyi, hilo linawapa sifa gani? Kwa maana hata watenda-dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao.+
32 “Na mkiwapenda wale wanaowapenda ninyi, hilo linawapa sifa gani? Kwa maana hata watenda-dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao.+