Mathayo 5:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwa maana mkiwapenda wale wanaowapenda ninyi, mna thawabu gani?+ Je, wakusanya-kodi pia hawafanyi jambo hilohilo? 1 Timotheo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.
46 Kwa maana mkiwapenda wale wanaowapenda ninyi, mna thawabu gani?+ Je, wakusanya-kodi pia hawafanyi jambo hilohilo?
8 Hakika ikiwa yeyote hawaandalii mahitaji wale walio wake mwenyewe,+ na hasa wale walio washiriki wa nyumba yake,+ ameikana+ imani+ naye ni mbaya kuliko mtu asiye na imani.