Mathayo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba ikiwa uadilifu wenu hauzidi ule wa waandishi na Mafarisayo,+ hamtaingia+ kamwe katika ufalme wa mbinguni. Mathayo 23:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kazi zote wanazozifanya wao huzifanya ili watazamwe na watu;+ kwa maana wanapanua vibweta+ vyenye maandiko ambavyo wao huvaa kama ulinzi, na kuongeza ukubwa wa pindo zenye nyuzinyuzi+ za mavazi yao.
20 Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba ikiwa uadilifu wenu hauzidi ule wa waandishi na Mafarisayo,+ hamtaingia+ kamwe katika ufalme wa mbinguni.
5 Kazi zote wanazozifanya wao huzifanya ili watazamwe na watu;+ kwa maana wanapanua vibweta+ vyenye maandiko ambavyo wao huvaa kama ulinzi, na kuongeza ukubwa wa pindo zenye nyuzinyuzi+ za mavazi yao.