Mathayo 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo Petro akaja na kumwambia: “Bwana, ndugu yangu atanitendea dhambi mara ngapi nami nimsamehe?+ Mpaka mara 7?”+ Marko 11:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+ Luka 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na utusamehe dhambi zetu,+ kwa maana sisi wenyewe pia humsamehe kila mtu aliye na deni letu;+ na usituingize katika jaribu.’ ”+
21 Ndipo Petro akaja na kumwambia: “Bwana, ndugu yangu atanitendea dhambi mara ngapi nami nimsamehe?+ Mpaka mara 7?”+
25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+
4 Na utusamehe dhambi zetu,+ kwa maana sisi wenyewe pia humsamehe kila mtu aliye na deni letu;+ na usituingize katika jaribu.’ ”+