Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Petro akaja na kumwambia: “Bwana, ndugu yangu atanitendea dhambi mara ngapi nami nimsamehe?+ Mpaka mara 7?”+

  • Marko 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na mnaposimama mkisali, wasameheni+ watu chochote mlicho nacho dhidi yao; ili Baba yenu aliye mbinguni awasamehe makosa yenu ninyi pia.”+

  • Luka 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na utusamehe dhambi zetu,+ kwa maana sisi wenyewe pia humsamehe kila mtu aliye na deni letu;+ na usituingize katika jaribu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki