Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na usituingize katika jaribu,+ bali utukomboe kutokana na yule mwovu.’+

  • Luka 22:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 naye akawaambia: “Kwa nini mnalala usingizi? Amkeni msali, ili msiingie katika jaribu.”+

  • 1 Wakorintho 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakuna jaribu ambalo limewapata ninyi ila lile lililo kawaida kwa watu.+ Lakini Mungu ni mwaminifu,+ naye hatawaacha ninyi mjaribiwe kupita mnavyoweza kuhimili,+ bali pamoja na hilo jaribu ataifanya pia njia ya kutokea+ kusudi mweze kulivumilia.

  • Yakobo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtu akiwa chini ya jaribu,+ yeye asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.

  • Ufunuo 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa sababu ulilishika neno juu ya uvumilivu+ wangu, mimi pia nitakulinda+ kutokana na ile saa ya jaribu itakayokuja juu ya dunia nzima inayokaliwa, ili kuwatia katika jaribu wale wanaokaa duniani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki