Luka 12:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Angalieni jinsi mayungiyungi hukua;+ hayo hayafanyi kazi wala hayasokoti; lakini ninawaambia ninyi, Hata Sulemani katika utukufu wake wote hakupambwa kama moja kati ya hayo.+
27 Angalieni jinsi mayungiyungi hukua;+ hayo hayafanyi kazi wala hayasokoti; lakini ninawaambia ninyi, Hata Sulemani katika utukufu wake wote hakupambwa kama moja kati ya hayo.+