Matendo 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mara tu malaika aliyesema naye alipokuwa ameondoka, akawaita wawili kati ya watumishi wake wa nyumbani na askari-jeshi mwenye kumwogopa Mungu kutoka kati ya wale waliokuwa wakimhudumia daima,+
7 Mara tu malaika aliyesema naye alipokuwa ameondoka, akawaita wawili kati ya watumishi wake wa nyumbani na askari-jeshi mwenye kumwogopa Mungu kutoka kati ya wale waliokuwa wakimhudumia daima,+