Mathayo 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ndipo akayagusa macho yao,+ akisema: “Na iwe hivyo kwenu kulingana na imani yenu.” Mathayo 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yesu akamjibu, akasema: “Ewe mwanamke, imani yako ni kubwa; acha itendeke kwako kama unavyotaka.” Na binti yake akaponywa tangu saa hiyo na kuendelea.+ Marko 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu akamwambia: “Maneno hayo, ‘Ikiwa unaweza’! Mambo yote yanawezekana kwa mtu ikiwa ana imani.”+ Luka 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale waliokuwa wametumwa, waliporudi nyumbani, wakamkuta huyo mtumwa akiwa katika afya njema.+
28 Ndipo Yesu akamjibu, akasema: “Ewe mwanamke, imani yako ni kubwa; acha itendeke kwako kama unavyotaka.” Na binti yake akaponywa tangu saa hiyo na kuendelea.+
23 Yesu akamwambia: “Maneno hayo, ‘Ikiwa unaweza’! Mambo yote yanawezekana kwa mtu ikiwa ana imani.”+