Marko 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi mama-mkwe+ wa Simoni alikuwa amelala chini akiugua homa,+ nao mara moja wakamwambia Yesu juu yake. Luka 4:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+
30 Basi mama-mkwe+ wa Simoni alikuwa amelala chini akiugua homa,+ nao mara moja wakamwambia Yesu juu yake.
38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+