25 Akijua fikira zao,+ akawaambia: “Kila ufalme uliogawanyika na kupingana wenyewe unaangamia,+ na kila jiji au nyumba iliyogawanyika na kupingana yenyewe haitasimama.
8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+