Marko 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini ili mjue kwamba Mwana wa binadamu+ ana mamlaka ya kusamehe dhambi duniani,”+—akamwambia yule mwenye kupooza: Luka 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini ili mjue kwamba Mwana wa binadamu ana mamlaka ya kusamehe dhambi duniani —” akamwambia mtu aliyepooza: “Ninakuambia, Simama, chukua kitanda chako, uende nyumbani.”+
10 Lakini ili mjue kwamba Mwana wa binadamu+ ana mamlaka ya kusamehe dhambi duniani,”+—akamwambia yule mwenye kupooza:
24 Lakini ili mjue kwamba Mwana wa binadamu ana mamlaka ya kusamehe dhambi duniani —” akamwambia mtu aliyepooza: “Ninakuambia, Simama, chukua kitanda chako, uende nyumbani.”+