14 Lakini alipokuwa akipita kandokando, akamwona Lawi+ mwana wa Alfayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.” Naye akaondoka, akamfuata.+
27 Basi baada ya mambo hayo aliondoka na kumwona mkusanya-kodi anayeitwa Lawi akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, naye akamwambia: “Uwe mfuasi wangu.”+