Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Halafu akawaambia: “Je, katika siku ya sabato ni halali kutenda tendo jema au kutenda tendo baya, kuokoa au kuua nafsi?”+ Lakini wao wakakaa kimya.

  • Luka 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo Yesu akajibu, akawaambia wale wenye ujuzi mwingi katika Sheria na Mafarisayo, akisema: “Je, ni halali kuponya katika siku ya sabato au sivyo?”+

  • Yohana 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki