3 Kwa hiyo Yesu akajibu, akawaambia wale wenye ujuzi mwingi katika Sheria na Mafarisayo, akisema: “Je, ni halali kuponya katika siku ya sabato au sivyo?”+
16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.