Luka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Je, mnafikiri nilikuja kuleta amani duniani? Ninawaambia ninyi, kwa kweli, hapana, bali badala yake mgawanyiko.+ Yohana 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.” Yohana 7:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwa hiyo mgawanyiko juu yake ukatokea kati ya umati.+ Yohana 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena mgawanyiko+ ukatokea kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno hayo.
51 Je, mnafikiri nilikuja kuleta amani duniani? Ninawaambia ninyi, kwa kweli, hapana, bali badala yake mgawanyiko.+
12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.”