Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 12:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Je, mnafikiri nilikuja kuleta amani duniani? Ninawaambia ninyi, kwa kweli, hapana, bali badala yake mgawanyiko.+

  • Yohana 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na umati ulikuwa ukinong’onezana mambo mengi juu yake.+ Baadhi yao wakawa wakisema: “Yeye ni mtu mwema.” Wengine wakawa wakisema: “Sivyo, bali yeye anaupotosha umati.”

  • Yohana 7:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kwa hiyo mgawanyiko juu yake ukatokea kati ya umati.+

  • Yohana 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tena mgawanyiko+ ukatokea kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki