Mika 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+ Mathayo 10:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Msifikiri nilikuja kuleta amani duniani; nilikuja kuleta, si amani,+ bali upanga. Yohana 7:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Kwa hiyo mgawanyiko juu yake ukatokea kati ya umati.+ Yohana 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.
6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+
16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.