Yohana 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao. Yohana 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tena mgawanyiko+ ukatokea kati ya Wayahudi kwa sababu ya maneno hayo.
16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakaanza kusema: “Huyu si mtu anayetoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki Sabato.”+ Wengine wakaanza kusema: “Mtu aliye mtenda-dhambi anawezaje kufanya ishara+ kama hizo?” Basi kukawa na mgawanyiko+ kati yao.