Marko 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mbegu nyingine zikaanguka mahali penye miamba ambapo, bila shaka, hapakuwa na udongo mwingi, nazo zikachipuka mara moja kwa sababu ya kutokuwa na udongo wenye kina.+ Luka 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nyingine zikaanguka juu ya mwamba, na, baada ya kuota, zikakauka kwa sababu ya kutokuwa na umajimaji.+
5 Na mbegu nyingine zikaanguka mahali penye miamba ambapo, bila shaka, hapakuwa na udongo mwingi, nazo zikachipuka mara moja kwa sababu ya kutokuwa na udongo wenye kina.+
6 Nyingine zikaanguka juu ya mwamba, na, baada ya kuota, zikakauka kwa sababu ya kutokuwa na umajimaji.+