5 Na mbegu nyingine zikaanguka mahali penye miamba ambapo, bila shaka, hapakuwa na udongo mwingi, nazo zikachipuka mara moja kwa sababu ya kutokuwa na udongo wenye kina.+
13 Zile zilizo juu ya mwamba ndio wale ambao, wanapolisikia, hulipokea lile neno kwa shangwe, lakini hawana mzizi; wao huamini kwa muda, lakini wakati wa jaribu wao huanguka.+