8 Lakini nyingine zikaanguka kwenye udongo mzuri,+ nazo zikamea na kuongezeka, zikaanza kuzaa matunda, nazo zilikuwa zikizaa matunda 30, na 60 na 100.”+
8 Nyingine zikaanguka juu ya udongo mzuri, na, baada ya kuota, zikazaa matunda mara mia.”+ Alipokuwa akisema mambo hayo, akapaaza sauti: “Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize.”+