8 Nyingine zikaanguka juu ya udongo mzuri, na, baada ya kuota, zikazaa matunda mara mia.”+ Alipokuwa akisema mambo hayo, akapaaza sauti: “Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize.”+
5 Mimi ndiye mzabibu, ninyi ndio matawi. Yule ambaye hukaa katika muungano pamoja nami, na mimi katika muungano pamoja naye, huyo huzaa matunda mengi;+ kwa sababu bila mimi hamwezi kufanya lolote kamwe.
6 ambayo imejitokeza kwenu, kama inavyozaa matunda+ na kuongezeka+ katika ulimwengu+ wote kama vile inavyofanya pia katikati yenu, tangu siku mliposikia na kujua kwa usahihi fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu katika kweli.+