Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Bado nyingine zikaanguka kwenye udongo mzuri nazo zikaanza kuzaa matunda,+ hii mara 100, ile 60, ile nyingine 30.+

  • Marko 4:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mwishowe, wale waliopandwa kwenye udongo mzuri ndio wale wanaolisikiliza neno na kulipokea vizuri na kuzaa matunda mara 30 na 60 na 100.”+

  • Luka 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nyingine zikaanguka juu ya udongo mzuri, na, baada ya kuota, zikazaa matunda mara mia.”+ Alipokuwa akisema mambo hayo, akapaaza sauti: “Yule aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize.”+

  • Yohana 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mimi ndiye mzabibu, ninyi ndio matawi. Yule ambaye hukaa katika muungano pamoja nami, na mimi katika muungano pamoja naye, huyo huzaa matunda mengi;+ kwa sababu bila mimi hamwezi kufanya lolote kamwe.

  • Wakolosai 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ambayo imejitokeza kwenu, kama inavyozaa matunda+ na kuongezeka+ katika ulimwengu+ wote kama vile inavyofanya pia katikati yenu, tangu siku mliposikia na kujua kwa usahihi fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu katika kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki