Yohana 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+
16 Ninyi hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua, nami niliwaweka ninyi msonge mbele na kuendelea kuzaa matunda+ na kwamba matunda yenu yapate kukaa; ili hata mkimwomba Baba jambo gani katika jina langu, apate kuwapa hilo.+