Mathayo 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yesu aliuambia umati mambo yote hayo kwa mifano. Kwa kweli, hakuwa akisema nao bila mfano;+ Marko 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi alipokuwa peke yake, wale waliomzunguka pamoja na wale kumi na wawili wakaanza kumuuliza juu ya mifano hiyo.+ Luka 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini wanafunzi wake wakaanza kumuuliza mfano huo ungeweza kuwa na maana gani.+
10 Basi alipokuwa peke yake, wale waliomzunguka pamoja na wale kumi na wawili wakaanza kumuuliza juu ya mifano hiyo.+