Mathayo 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo wanafunzi wakaja na kumwambia: “Kwa nini unasema nao kwa kutumia mifano?”+ Marko 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi alipokuwa peke yake, wale waliomzunguka pamoja na wale kumi na wawili wakaanza kumuuliza juu ya mifano hiyo.+
10 Basi alipokuwa peke yake, wale waliomzunguka pamoja na wale kumi na wawili wakaanza kumuuliza juu ya mifano hiyo.+