Marko 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mpandaji hulipanda neno.+ Luka 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi mfano+ huo unamaanisha hivi: Hizo mbegu ni neno la Mungu.+