32 Na sasa ninawaweka ninyi mikononi mwa Mungu+ na kwa neno la fadhili zake zisizostahiliwa, neno ambalo linaweza kuwajenga+ na kuwapa urithi kati ya wale wote waliotakaswa.+
23 Kwa maana mmezaliwa upya,+ si kupitia mbegu yenye kuharibika,+ bali kupitia ile isiyoharibika+ yenye kuzaa,+ kupitia neno la Mungu+ aliye hai na anayedumu.+