30 Basi, ikiwa Mungu huivika hivyo mimea ya shambani, ambayo ipo hapa leo na kesho hutupwa ndani ya jiko, je, yeye hataona ni afadhali zaidi awavike, ninyi wenye imani kidogo?+
26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+
6 Lakini na aendelee kuomba+ kwa imani, bila kutia shaka hata kidogo,+ kwa maana yeye anayetia shaka ni kama wimbi la bahari linaloendeshwa na upepo+ na kupeperushwa huku na huku.