26 Lakini akawaambia: “Kwa nini mna moyo wa woga, ninyi wenye imani kidogo?”+ Ndipo, akasimama, akakemea zile pepo na hiyo bahari, kukawa utulivu mkubwa.+
28 Ikiwa, basi, Mungu huvika hivyo mimea iliyo shambani ambayo leo ipo na kesho hutupwa ndani ya jiko, basi atawavika ninyi hata zaidi, ninyi wenye imani kidogo!+