Marko 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Wakakaa kimya, kwa maana barabarani walikuwa wamebishana wenyewe, ni nani aliye mkuu zaidi.+ Luka 9:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Ndipo wakaanza kujadiliana kati yao kuhusu ni nani angekuwa mkuu zaidi kati yao.+ Luka 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+
24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+