Mathayo 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+ Marko 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nao wakaingia Kapernaumu. Sasa alipokuwa ndani ya nyumba akawauliza: “Mlikuwa mkibishania nini barabarani?”+ Luka 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+
18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+
33 Nao wakaingia Kapernaumu. Sasa alipokuwa ndani ya nyumba akawauliza: “Mlikuwa mkibishania nini barabarani?”+
24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+