Mathayo 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+ Luka 9:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Ndipo wakaanza kujadiliana kati yao kuhusu ni nani angekuwa mkuu zaidi kati yao.+ Luka 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+
18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+
24 Hata hivyo, kukatokea pia bishano kali kati yao juu ya ni nani kati yao aliyeonekana kuwa mkuu zaidi ya wote.+