Mathayo 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo walio wa mwisho watakuwa wa kwanza, na walio wa kwanza watakuwa wa mwisho.”+ Marko 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wa mwisho watakuwa wa kwanza.”+ Luka 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na, tazama! kuna wale wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na kuna wale wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”+
30 Na, tazama! kuna wale wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na kuna wale wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”+