Mathayo 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho na wa mwisho watakuwa wa kwanza.+ Marko 9:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa hiyo akaketi na kuwaita wale kumi na wawili na kuwaambia: “Ikiwa mtu yeyote anataka kuwa wa kwanza, lazima awe wa mwisho kati ya wote na mhudumu wa wote.”+ Marko 10:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wa mwisho watakuwa wa kwanza.”+ Luka 13:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na, tazama! kuna wale wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na kuna wale wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”+
35 Kwa hiyo akaketi na kuwaita wale kumi na wawili na kuwaambia: “Ikiwa mtu yeyote anataka kuwa wa kwanza, lazima awe wa mwisho kati ya wote na mhudumu wa wote.”+
30 Na, tazama! kuna wale wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na kuna wale wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.”+