Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+

  • Mathayo 20:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+

  • Marko 10:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu; bali yeyote yule anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+

  • Luka 9:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Ndipo wakaanza kujadiliana kati yao kuhusu ni nani angekuwa mkuu zaidi kati yao.+

  • Wafilipi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Zaidi ya hayo, alipojikuta katika umbo la mwanadamu,+ alijinyenyekeza naye akawa mtiifu mpaka kifo,+ ndiyo, kifo juu ya mti wa mateso.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki