Mathayo 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+ Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+ Marko 10:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu; bali yeyote yule anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+ Luka 9:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Ndipo wakaanza kujadiliana kati yao kuhusu ni nani angekuwa mkuu zaidi kati yao.+ Wafilipi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya hayo, alipojikuta katika umbo la mwanadamu,+ alijinyenyekeza naye akawa mtiifu mpaka kifo,+ ndiyo, kifo juu ya mti wa mateso.+
18 Katika saa hiyo wanafunzi wakamkaribia Yesu na kusema: “Ni nani kwa kweli aliye mkuu zaidi katika ufalme wa mbinguni?”+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa nafsi yake kuwa fidia badala ya wengi.”+
43 Hivyo sivyo ilivyo katikati yenu; bali yeyote yule anayetaka kuwa mkubwa katikati yenu lazima awe mhudumu wenu,+
8 Zaidi ya hayo, alipojikuta katika umbo la mwanadamu,+ alijinyenyekeza naye akawa mtiifu mpaka kifo,+ ndiyo, kifo juu ya mti wa mateso.+