Mathayo 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+ Luka 6:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 “Kwa nini, basi, mnaniita ‘Bwana! Bwana!’ lakini hamfanyi mambo ninayosema?+
21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+