Mathayo 9:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana alikuwa akisema moyoni mwake: “Nikigusa tu vazi lake la nje nitapona.”+ Marko 5:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 kwa maana alikuwa akisema: “Nikiyagusa tu mavazi yake ya nje nitapona.”+ Marko 6:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani+ walikuwa wakiweka wale wagonjwa sokoni, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa+ tu upindo+ wa vazi lake la nje. Na wote waliougusa wakapona.+
56 Na kokote alikokuwa akiingia vijijini au majijini au mashambani+ walikuwa wakiweka wale wagonjwa sokoni, nao walikuwa wakiomba ili wapate kuugusa+ tu upindo+ wa vazi lake la nje. Na wote waliougusa wakapona.+